Maono:

Kuwa na jamii ya wanafunzi
ambao wanaweza kutumia elimu ya darasani
na ujuzi wa kibiblia kwa maisha yao ya kila siku

Dira:

Kuwapa wanafunzi wetu
fursa ya kujifunza katika ubunifu na vitendo,
pia kuhusisha ukweli wa biblia
katika kila nyanja shuleni