Maadili
Yetu

UADILIFU

Tunaamini Neno la Mungu.
Tunaamini katika kufanya yaliyo sahihi hata kama hakuna anayetuona.  Tunaamini katika kumuheshimu Mungu zaidi ya kitu chochote.

UPENDO

Tunathamini watoto.
Tunaamini katika kumpenda mwingine kama tunavyojipenda.
Tunaamini uwezo wa upendo wetu unatoka kwa Mungu.

FAMILIA

Tunathamini familia.
Tunaamini katika kushirikiana na wazazi.
Tunaamini watoto hujifunza nyumbani pia, sio shuleni tu.

UBUNIFU

Tunathamini elimu ya vitendo.
Tunaamini katika kujaribu vitu vipya.
Tunaamini kujifunza kunaweza kuburudisha.

HESHIMA

Tunathaminiana.
Tunaamini katika kuheshimu muda wa wengine.
Tunaamini tunaweza kujifunza kutoka kwenye
mawazo, lugha na tamaduni za wengine.