Kisha akanionyesha mto wa maji ya uzima, wenye kung’aa kama bilauri,


ukitoka katika kiti cha enzi cha Mungu, na cha Mwana-Kondoo, katikati ya njia kuu yake.

Na upande huu wa ule mto, ulikuwapo mti wa uzima, uzaao matunda, aina kumi na mbili, wenye kutoa matunda yake kila mwezi.


Na majani ya mti huo ni ya kuwaponya mataifa.
Ufunuo 22:1-2