Maono:
Kuwa na jamii ya wanafunzi
ambao wanaweza kutumia elimu ya darasani
na ujuzi wa kibiblia kwa maisha yao ya kila siku
Dira:
Kuwapa wanafunzi wetu
fursa ya kujifunza katika ubunifu na vitendo,
pia kuhusisha ukweli wa biblia
katika kila nyanja shuleni